Mchezo namba 208 wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba SC na Yanga SC umepangwa kuchezwa Julai 3, 2021, saa 11:00 jioni katila Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Awali mchezo huo ulipangwa kuchezwa Mei 8, 2021, lakini uliahirishwa.
Kiporo cha Simba vs Yanga Julai 3
Reviewed by Vijana Brand
on
May 17, 2021
Rating: 5
No comments