Athari za kutoongezwa kwa mishahara
Kutoongezwa kwa mishahara ya wafanyakazi kumesababisha athari mbalimbali katika sekta tofuti nchini .
Mfano imepelekea kushuka kwa morali ya wafanyakazi kufanya kazi kwa bidii.
Imewafanya baadhi ya watendaji wa serikali kuacha kazi kutokana na ujira hafifu.
Imesababisha kiwango cha ubunifu katika utendaji wa shughuli za kiserikali kushuka kwa kasi kubwa.
Imeshusha ufanisi wa utendaji wa wafanyakazi ndani ya Serikali kuwa ni wa kusuasua sana kiasi kwamba matokeo ya utendaji wao ndani ya Serikali kuonekana siyo wa kuridhisha kabisa.
No comments